blog hii inahusu habari mbali mbali, za michezo, music,na pic mbalimbali!!
Tuesday, December 4, 2012
Thursday, November 29, 2012
Tuesday, November 20, 2012
Monday, November 12, 2012
Monday, October 29, 2012
Ommy amsamehe Lord Eyez
Ommy Dimpoz |
Nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Ommy Dimpoz amesema kuwa licha
ya kutumia kiasi cha shilingi milioni 5 kurudisha gari yake kwenye hali
ya kawaida hawezi kumchukia msanii mwenzake Lord Eyez anayeshikiliwa
korokoroni hivi sasa kwa tuhuma za kuiba vifaa kutoka kwenye gari yake.
“Nafahamu
kuwa kuwa siruhusiwi kuzungumza lolote kwa kuwa suala liko
Polisi,ninachoweza kukwambia ni kuwa binafsi nimemsamehe Lord na
wenzake, sababu huwezi kujua kuhusu kesho, nimepanga kukutana naye na
kumwambia hili jambo, najisikia vibaya lakini nashukuru kuwa gari yangu
nimeshairekebisha na sasa ndiyo ninayoitumia tena licha ya kuwa
nimetumiagharama kubwa” alisema Dimpoz.
Saturday, September 22, 2012
Wednesday, September 12, 2012
Tuesday, September 11, 2012
huyo diamond cheki mavitu yake hayo..
Diamond's Malindi Tour (Pata Pata Beach Club)
Tulipo wasili Airport me & Romy Jay..... |
Hapa nikiwa kwenye Rehearsal... |
Romy Jay.... |
Romy Jay kama kawa kama dawa...... |
Tukioneshana ujuzi nani zaidi......Lazima ukae Hahaha! |
After Swimming..... |
Nikisalimiana na Mkurugenzi wa Pata Pata Beach Club.... |
Romy,Me & Mr. Fedele..... |
Nikiwa kwenye Interview kabla ya show...... |
Mpango mzima ulikuwa hivi...... |
Mmmh! Sijui kilicho mshangaza mrembo huyu ni nn!!????.... |
Daaaaah! Sina hata la kusema..... |
Nipo na Chief Kiumbe the Boss |
After show.... |
Subscribe to:
Posts (Atom)