Wednesday, August 7, 2013

Nay feat Diamond Muziki gani Part2

DIAMOND KATISHAAA.......ACHUKULIWA NDEGE BINAFSI KUTOKA KENYA MPAKA BONGO KUTOKANA NA AJARI YA MOTO YA ASUBUHI

Cocacola
Baada ya tukio la moto la leo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, JKIA jijini Nairobi, Kenya, lililosababisha uwanja huo kufungwa kwa muda na kumfanya Diamond Platnumz aliyetua alfajiri ya leo akitokea Afrika Kusini kukwamwa, Cocacola imemchukulia ndege binafsi itakayomleta Dar es Salaam. Kupitia Instagram, Diamond ameshare picha wakati akipenda kwenye ndege hiyo ambamo atakuwa peke yake na rubani. “Had no choice than dat, coz i miss my mum and Baby lyk crazy… @ Wilson Airport Nairobi… can’t wait to see you @rommyjones #I #MySelf #AloneInTheJet #CocaBoy …. #Cocacola Mmetisha sana, asanteni sana,” ameandika. Diamond ni balozi wa Cocacola. Hizi ni bei za kukodi ndege binafsi nchini Kenya. Air Charter Rates at HKNW
Turbo-Props: $1,200 – $1,800/hr
Light Jets: $1,900 – $2,650/hr
Mid-size Jets: $2,700 – $3,400/hr

Monday, August 5, 2013

HILI NDILO GARI JIPYA AINA YA BENZI ANALO ENDESHA STAA WA BONGO MUVI MWANA DADA IRENE UWOYA lenye thamani ya Tsh.Milion 150


OLYMPUS DIGITAL CAMERA
Irene Uwoya ambae ni Mrs Ndikumana akiwa pia ni mama Krish hivi karibuni ameingia kwenye headlines na TV show yake mpya kabisa ambayo itaoneka @CloudsTV jumanne wiki hii,

Ni Mercedes Benz S Class 550 Sedan yenye rangi ya Black metalic ambapo japo gharama imebaki kuwa siri ukicheki kwenye mtandao wa Mercedes Benz US ndinga kama hii ikiwa mpya ina-cost $ 95,000.
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Source--millardayo

Monday, July 1, 2013

MAAJABU!! ANGALIA BARABARA ZIKIPIGWA DEKI LEO HII KUTOKANA NA UJIO WA OBAMA!!!!




Serikali imesema kupigwa deki kwa barabara ya Morogoro hadi Ubungo Tanesco kutokea mjini hakuna uhusiano na Ujio wa Barack Obama!!

Sunday, June 30, 2013

HATIMAYE LULU AFANYA INTERVIEW YA KWANZA TANGU ATOKE JELA!!! ANGALIA ALICHOANDIKA KUPITIA MTANDAO MMOJA WA KIJAMII!!!!

Hatimaye mwanadada Elizabeth Michael a.k.a Lulu amefanya interview yake ya kwanza rasmi baada ya kipindi cha takribani mwaka mmoja na nusu toka atoke jela. Katika kipindi hicho kitakachorushwa hivi karibuni lulu ameongelea mambo mengi sana hasahasa experience yake ya maisha ya jela na mambo
mengine mengi. Naye Lulu kupitia mtandao mmoja wa kijamii aliandika. “Kwa zaidi ya mwaka na nusu sasa!!!hii ni interview yangu ya kwanza baada ya kipindi chote hicho....thanks zamaradi….” Unahisi ameongelea mambo gani mengine? Tupe maoni yako