Tuesday, June 25, 2013

MSAFARA WA WEMA SEPETU NI KAMA RAISI AU BALOZI TWENZETU DODOMA...


Wema sepetu akiwa na Team Endless Fame
 Jana wakati muigizaji wa bongo movie star Wema Sepetu anaelekea Dodoma ku surport kampeni ya kupiga vita uharamiwa wa kazi za kisanaa ANTI PIRACY kampeni ambayo inaongozwa na kituo cha radio clouds fm, msafara wa wema ulikua na ki bendera kabisa yenye nembo ya kampuni yake inayofahamika kama Endless Fame
si ndo hichi sasa, patamu hapo


msafara ukiwa umepiga stop njiani

No comments:

Post a Comment